Pages

Saturday, 10 October 2015

TANGAZO TOKA IDARA YA UCHUMI

BISMLLAH RAHMAN RAHIM
       AL JAMAATUL  MUSLIMINA L AQSWAA
TANGAZO TOKA IDARA YA UCHUMI
KUTOKANA NA KIKAO CHA WANA JUMUIYA WOTE CHA TAREHE  24/08/2015 ,NAMBO  YA FUATAYO YALIJADILIWA NA KUPITISHWA NA WANAJUMUIYA WOTE. AMBAPO YALIKUWA KUWA NA SEHEMU A NA B
 A.NAMNA  NA KANUNI ZA UCHANGIAJI WA MICHANGO  YA JUMUIYA
B.USAJILI MPYA WA WANAJUMUIYA
SEHEMU .A
1.ADA YA JUMUIYA : mwanajumuiya anatakiwa alipe ada miezi mitatu ya mwanzo shilingi 15000 na baadaye shilingi 5000 kwa kila mwezi mpaka kutimiza kile kiwango kilichowekwa  cha shilingi 50000 kwa mwaka.
2.NJIA ZA UCHANGIAJI MICHANGO YA ADA YA JUMUIYA .
Mwanajumuiya anaweza kuchangia ada kupitia mkono kwa mkono (CASH) au kupitia mitandao ya simu ambayo ni :
1.AIRTEL MONEY…….0686-386925
2.TIGO PESA…………….0655-538938
3.MPESA…………………0757-475535
{majina ya akaunti zote ni seif Mketo}
NB.Ada ya jumuiya ikitumwa kupitia mitandao  ya simu ya jumuiya basi taarifa apewe MCHUMI kati ya : 
 1.SEIF MKETHO…………0682-659701
 2.SALUM DAAWA………..0657-117908
3.TAREHE RASMI YA KUANZA KUCHANGIA MICHANGO HIYO YA ADA YA JUMUIYA
Tarehe ni 01/10/2015 kwani ndiyo wakati ambao watu wengi huwa na uwezo ya kipesa hivyo basi ni vyema kuchangia michango hiyo haraka baada ya kupata pesa hizo  ambapo mtu anaruhusiwa kuchangia hata ada yote ya mwaka kama anauwezo huo. Vilevile tar iliyotajwa hapo juu ndiyo mwanza wa kuhesabiwa michango ya ada hata kwa wale walio kwishatoa mwanzoni.
Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na mmoja kati ya wachumi waliotajwa hapo juu ikiwa kuna kipengele kinautata au hakijafahamika vizuri .
SEHEMU. B
-Wanajumuiya waliona kuwa kuna haja ya kufanya tena usajili kwa mara yingine tena ilia kuwapata wanajumuiya wataokuwa tayari kuungana pamoja ili kuhakikisha malengo ya jumuiya yana fikiwa .lengo kuu hapa ni kupata( active members )
Hivyo basi kama ushazipitia na kukubaliana  sifa anazotakiwa kuwanazo mwanajumuya ambazo zinapatikana katika e-mail ya jumuiya (jumuiyayetu11@gmail.com) password  yetu ni BUKHAR111.Basi unaweza kuthibitisha uwepo wako kwa kuandika jina lako kamili au jina maarufu, na kuandika neno NDIYO au HAPANA.  Au ujumbe mfupi (sms) kwenye no hizi ;
0659-320365 au 0782-477319(Katibu mkuu wa jumuiya SULEIMANI  JUMA).
Tangazo hili limetolea na idara ya uchumi
Wabilah tawfiq.

No comments:

Post a Comment