Pages

Saturday, 10 October 2015

KALENDA NA SIFA ZA MWANAJUMUIYA



BISMILLAH RAHMANI RAHIM
     JAMAATUL  MUSLIMIN AL AQSWAA
KALENDA YA MWAKA YA JUMUIYA .
1.Wanajumuiya lazima wakutane mara moja (1) kwa mwaka  yaani katika likizo ya mafunzo kwa vitendo( Field)
2.viongozi watakutana mara moja (1) kwa mwaka siku mojsa kabla ya kukutana na wanajumuiya wote.
3.viongozi watakutana kuzungumza maswala mbalimbali ya kiutendaji kila baada ya miezi miwili (2)
4.wanajummuiya ni lazima kuangalia taarifa mpya za jumuiya kila baada ya swala ya ijumaa ili kujua nini kimejiri ndani ya jumuiya .
5.wanajumuiya waliokaribu karibu  watakutana kila baada ya miezi mwili .
SIFA ZA MWANAJUMUIYA
1.Awe muislamu ambaye yuko tayari kutimiza malengo yote ya jumuiya
2.Awe na maadilid ya kiislamu na asiwe mfanya makoasa ya dhahiri
3.Awe tayari kusoma dini kadri ya uwezo wake
4.Mwanajumuiya anatakiwa alipe ada ya jumuiya ndani ya miezi mitatu(3) vinginevyo atakuwa amejitoa uwanajumuiya
5.mwanajumuiya anaweza kukopa katika jumuiya ila kwa kufuata  na kuzingatia vigezo na masharti ya mkopo huo
6.Mwanajumuiya ni lazima ashiriki vikao na shughuli zote zinazohusiana na jumuiya
7.Mwanajumuiya  awe tayari kutii viongozi
8.Mwanajumuiya ana uhuru wa kutoka (kujivua uwanajumuiya) kama ataona hakuna umuhimu wa kubaki kama mwanajumuiya


WABILLAH TAWFIQ.

No comments:

Post a Comment